Skip to main content

Posts

Showing posts with the label ZANZADAPT

MAFUNZO YA UTUNZAJI WA MISITU YA MIKOKO YAANZA RASMI COMMUNITY FORESTS PEMBA

  BY MUNIRA KAONEKA, ZANZIBAR@@@@ Katika jitihada za kuimarisha uhifadhi wa mikoko na matumizi endelevu ya rasilimali za asili, Jumuiya ya Community Forests Pemba (CFP) imefungua mafunzo maalum kwa Watoa Mafunzo ya Jamii (ToTs) kuhusu uhifadhi wa mikoko na usimamizi wa rasilimali za jamii. Mafunzo haya, yalifanyika kuanzia tarehe 19 hadi 21 Februari katika ofisi za CFP Unguja, na yalilenga kuwawezesha washiriki kuwa viongozi wa uhifadhi wa mazingira katika jamii zao. Mafunzo haya yameandaliwa ili kuongeza uelewa wa washiriki kuhusu umuhimu wa mikoko, mbinu za kuhifadhi misitu, na namna ya kushiriki katika usimamizi wa rasilimali za asili kwa njia endelevu. Kupitia mafunzo haya, ToTs watapata ujuzi wa vitendo na mbinu za kufundisha ambazo zitawawezesha kuwa mabalozi wa mabadiliko katika maeneo yao. Akifungua rasmi mafunzo haya, Mkurugenzi Mtendaji wa CFP alisisitiza kuwa uhifadhi wa mikoko ni jukumu la jamii nzima. “Uhifadhi wa mikoko na urejeshwaji wake ni kazi ya pamoja, na ni...

A TASTE OF SUCCESS: THE JOURNEY OF BUNGI'S WOMEN TO ECONOMIC INDEPENDENCE

  BY, KHELEF NASSOR, ZANZIBAR@@@@ IN the heart of Bungi, a small village nestled amidst the lush greenery of South Region of Unguja Island, Zanzibar, a quiet revolution is underway. A group of women, once bound by the chains of poverty and limited opportunities, have emerged as beacons of hope and inspiration. Their journey, a testament to the power of collective action and the transformative potential of entrepreneurship, has not only transformed their own lives but also ignited a spark of change within their community. These women, like many others in Bungi, faced a daily struggle. The burden of raising families while grappling with limited income sources weighed heavily upon them. They were often confined to their homes, with limited opportunities to improve their economic development and escape poverty. However, a glimmer of hope appeared with the arrival of the ZanzAdapt project, an initiative funded by Global Affairs Canada and implemented by Community Forests Pemba, in colla...