Skip to main content

Posts

Showing posts with the label SHERIA YA TUME YA UTANGAAZAJI ZANZIBAR NA MAAJABU YAKE

VIFUNGU SHERIA YA TUME YA UTAANGAZAJI NAMAAJABU YAKE KUELEKEA UHURU WA HABARI ZANZIBAR

  NA KHAULAT SULEIMAN, PEMBA@@@@ ZANZIBAR kama ilivyo eneo jingine lolote ulimwenguni, nayo inavyo vyombo vya habari, ambavyo maudhui yake ni sawa na vile vya mataifa mingine. Kazi za msingi za vyombo vya habari ni kuelemisha, kuburudisha na kuhabarisha ingawa kwa pia ni kukosoa, kupongeza na kuhoji. Kazi hii hasa ni haki ya kikatiba, katika nchi kadhaa, kwa mfano Zanzibar katiba yake ya mwaka 1984 kifungu cha 18 na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ibara 18 imeelezea haki hii. Kama hivyo ndivyo, unaweza kushangaa kuwa suala la kutoa, kupata na kusambaaza habari ni haki ya kikatiba, sasa iweje kutungwe sheria yenye vifungu au maneno, yenye ukakasi kwa waandishi wa habari. SHERIA YA TUME YA UTANGAAZAJI ZANZIBAR NO 7 YA MWAKA 1997 Sheria hii ambayo sasa inatimiza umri wa miaka 29, tokea pele ilipotiwa saini na Rais wa wakati huo wa Zanzibar Dk. Salmin Amour Juma, licha ya kufanyiwamarekebisho. Kwa hakika, lengo kuu la sheria hii, ni kuongoza vyombo vya habari Zanz...