Skip to main content

Posts

Showing posts from May 17, 2026

UFUGAJI MATANGO BAHARI AJIRA YENYE GHARAMA NAFUU, 'TUMUOMBE MOLA' MBIONI KUVUNA 20/=MILIONI

  NA HAJI NASSOR, PEMBA@@@@ ‘…….SEA Cucumbers’ ama matango bahari…... Na wingine huliita jongoo la pwani, ama kiazi bahari. Ni aina ya wanyama ama kiumbe, kinachoendesha maisha yake baharini. Kitango bahari, kina ngozi ngumu kiasi na mwili mrefu ambapo muonekano na maumbile yake ni sawa na kitango kinacholiwa nchi kavu. Kitango bahari, kinaendelea kufafanuliwa kwenye vitabu na mitandao kuwa, kina mwili mrefu wenye via vya uzazi, moja iliyo na matawi. Wanyama hawa, wanapatikana kwenye sakafu za bahari duniani kote, wakiwa wamegawanyika kwenye spishi zaidi ya 1,717. Ingawa nyingi zao, zinapatikana eneo la Asia-Pasifiki, ambapo kwa Zanzibar utafiti umeonesha zipo zaidi ya aina 35. Vitango bahari, huishi kwa kutambaa kwenye sakafu ya bahari, na kuweka hifadhi na kujisitiri kwenye matumbawe.   Maisha ya viumbve hawa, waliokua hawakuwa na thamani kwa zaidi ya karne moja Zanzibar, maisha yao yana mchango mkubwa katika ikolojia ya bahari, hasa katika kuisafisha. ...

INSIDE THE FIGHT TO PRESERVE ZANZIBAR'S HISTORIC MOSQUES

  By Tatu Makame, ZANZIBAR@@@@ ZANZIBAR’S Stone Town is one of the world’s most celebrated heritage sites, officially inscribed on the UNESCO World Heritage List in 2000 for its outstanding cultural and historical value. The ancient town has gained global recognition for its centuries-old buildings, unique architecture and rich cultural heritage that continue to attract tourists and researchers from different parts of the world. Visitors arriving in Stone Town are drawn by its narrow streets, historical sites, ancient mosques and buildings that reflect the deep history of the East African coast. Despite the achievements made in preserving the heritage city, Stone Town continues to face growing challenges caused by climate change, environmental degradation and the ageing of historical structures. Several buildings, including houses, mosques and public structures, have suffered cracks, weakened walls and structural collapse, threatening the survival of one of Africa’s most ...