Skip to main content

Posts

Showing posts from August 24, 2025

WAANDISHI WA HABARI PEMBA WAPEWA ONYO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

  NA MARYAM SALUM, PEMBA@@@@    WAANDISHI wa habari kisiwani Pemba, wametakiwa kutojihusisha na ishara zozote zinazopelekea uvunjifu wa amani, iwe ni kabla, wakati baada ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.   Wito huo ulitolewa August 28, 2025 na Mkurugenzi wa Baraza la Mji la Manispaa ya Chake  Chake, Shida Kombo Hamad, kwa niaba ya mkuu wa wilaya ya Chake Chake, wakati akifungua mafunzo ya siku moja kwa wanahabari hao, juu ya kuripoti habari za uchaguzi, katika ukumbi wa Shirika la Utangazaji Zanzibar ‘ZBC’ Pemba.   Alisema kuwa vyombo vya habari ni taasisi muhimu kwa jamii nchini, vinavyotoa huduma ya kuhabarisha, ambayo ni haki ya msingi raia kama inavyotamkwa kwenye katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, kifungu cha 18.   Alieleza kuwa, dhima ya sekta ya habari ni kuelimisha na kuburudisha jamii, ambapo kwa upande wa utangazaji, sekta ya habari inahudumiwa na vyombo vya habari ambavyo ni redio, television na mit...

WAZIRI PEMBE AHIMIZA AMANI, KABLA, WAKATI NA BAADA YA UCHAGUZI

  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto MHE. RIZIKI PEMBE JUMA, amewataka Maafisa, Wakaguzi na Askari wa Jeshi la Polisi kuendelea kuimarisha Amani na usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ili uchaguzi huo ufanyike katika hali ya utulivu. Akizungumza katika hafla ya utoaji wa Elimu kwa Mtandao wa Polisi Wanawake pamoja na kuwaaga Askari wakike 27 wanaostaafu kazi kwa mujibu wa sheria MHE. PEMBE amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kuanzisha na kuendeleza Mtandao huo na amehimiza ushirikishwaji wa Askari wa kike katika kazi mbalimbali za Polisi ili kuleta usawa wa kijinsia. Nae Kamishna wa Polisi Zanzibar CP KOMBO KHAMIS KOMBO, amewataka Askari wakike kuendeleza umoja na mshikamano ili kuimarisha Mtandao huo wa Polisi wanawake ambao umekuwa ukileta tija kwa Jeshi Polisi na Jamii. Kwa upande wake Mwenyekiti wa Mtandao wa Polisi wanawake kwa upande wa  Zanzibar, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) PILI FOBBE amesema lengo la kuanzishwa kwa Mtandao wa Polisi wanawake ni k...

DK. MWINYI: ASIFU ZANZIBAR ILIVYOWEKA MAZINGIRA RAFIKI YA USALAMA, USAWA WA KIJINSIA

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar imepiga hatua kubwa kulinda haki za wanawake kwa kuwa na sera na sheria bora zinazohakikisha usalama, usawa wa kijinsia na kuwepo kwa miji na maeneo salama ya kijamii. Dk. Mwinyi, aliyasema hayo wakati akifungua mkutano wa saba wa dunia wa viongozi wa miji na maeneo salama kwa jamii uliofanyika katika hoteli ya Madinat Al- Bahr Mazizini. Alisema serikali imekuwa mstari wa mbele kuimarisha usalama wa maeneo ya umma na kutokomeza ukatili wa kijinsia kupitia sera madhubuti na utekelezaji wa mikakati maalum. Aidha alisema mkutano huo ulioandaliwa kwa ushirikiano na UN Women, unaakisi jitihada za kimataifa za kujenga jamii salama kwa wote, hasa wanawake na wasichana kupitia utekelezaji mzuri wa sera na sheria zinazohakikisha fursa na ustawi wao. Rais Mwinyi alibainisha kuwa Zanzibar imepiga hatua katika kuhakiksha usalama wa miji ambao umegusia ujumuishwaji wa wanawake na wasichana katika u...

STRIVING TO BUILD A COUNTRY STRONG IN SCIENCE AND TECHNOLOGY

                 XI JINPING This is a significant scientific and technological gathering, which comes at a critical juncture in our endeavor to build a great country and move toward national rejuvenation on all fronts through Chinese modernization. First of all, on behalf of the Central Committee of the Communist Party of China (CPC), allow me to extend my heartfelt congratulations to all groups and individuals honored with the 2023 National Science and Technology Awards. I would also like to convey my deepest regards to the academicians of the Chinese Academy of Sciences and the Chinese Academy of Engineering, as well as to all scientists and engineers across the country. Additionally, I warmly welcome foreign academicians and distinguished friends from the international scientific community who have joined us here today. A nation thrives through scientific advancement; a country grows strong with technological prowess. The advancement of sc...

XI CHARTS COURSE FOR XIZANG AS REGION CELEBRATES 60 YEARS' HISTORIC PROGRESS

LHASA -- Chinese leader Xi Jinping outlined the course for Xizang's development during a two-day visit to the plateau region, where he joined locals in celebrating six decades of progress since the autonomous region was established. It was the first time that a Chinese leader holding concurrent posts of the general secretary of the Communist Party of China (CPC) Central Committee, Chinese president, and chairman of the Central Military Commission, attended Xizang Autonomous Region founding anniversary celebrations. Xi last visited the plateau region in 2021, when Xizang marked the 70th anniversary of peaceful liberation. Amid a tight schedule, Xi met with representatives from all ethnic groups and sectors in Xizang, heard reports from the CPC regional committee and the regional government, attended a gala, and took part in a grand gathering at the signature Potala Palace square in Lhasa. During these engagements, Xi called on Xizang to continue advancing its four major tasks -- ens...

WANAUME WANAOKWEPA KUWASINDIKIZA WENZA WAO KLINIKI CHANZO KUFIFIA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    HABIBA ZARALI, PEMBA@@@@    NENO ujauzito si geni katika maisha ya kila siku ya binadamu.   Kwa kawaida hali hiyo ya ujauzito, mama hupitia matatizo mengi hadi pale anapofikisha wiki 38 yaani miezi tisa ambapo ndio wakati wa kujifungua kwa  kawaida ya umri  wa  mimba ya binadamu kiafya.   Kuumwa mara kwa mara kichwa, tumbo, kutapika, kutojiskia hamu ya kula humkumba mjamzito wakati mimba inapoendelea kukua  ndani ya tumbo la uzazi.   Hii inatokana na mabadiliko ya makuzi ya  mtoto na mabadiliko ya afya  ya mama ambayo hubadilika kutokana na makuzi ya mimba ,uzito na mengine.    Wataalamu wa afya wanasema makuzi ya mtoto  tumboni huambatana na mabadiliko ya afya ya mama,  ama mauzi na hata baadhi ya magonjwa .   Maudhi kama kujisikia uchovu wa mwili, kutapika , hamu ya kula sana ama kutopenda kula, kuchagua ama kupenda chakula cha aina fulani , hasira , kutokuwa mchangam...