Skip to main content

Posts

Showing posts from August 3, 2025

WAZIRI SHATAMA AELEZEA SABABU YA MAONYESHO YA NANE 8

  NA KHAULAT SULEIMAN ,PEMBA WAZIRI wa Kilimo Mali Asili na Mifugo Zanzibar Shamata Shaame Khamis amesema Wizara imeandaa maonyesho nane nane kwa dhamira ya kuimarisha kilimo kwa dhana za kisasa pamoja na kuimarisha kilimo hai kwa manufaa ya bidha katika jamii ili kutoa fursa kwa tasisi za kiserikali na hata binafsi na wajasirimali na wananchi wote kwa ujumla. Serikali kupitia wizara ya kilimo mali asili na mifugo imekamilisha matayarisho yote ikiwa lengo ni kuhamasisha wakulima kutumia njia bunifu za kilimo cha kisasa na kuongeza uzalishaji na mbinu bora za kisasa katika kukuza pato la taifa kwa ujumla. Aliyasema hayo kwa wandishi wa habari huko katika ofisi za Wizara ya Kilimo Wete Jodari mkoa wa kaskazini Pemba wakati wa ghafla ya ufunguzi wa maonyesho ya kilimo ya nane nane ambayo yanafanyika Dole Kizimbani wilaya ya Magharibi A Unguja. Wizara ya Kilimo Mali asili na Mifugo inaendeleza mipango na mikakati iliyoanzishwa na serekali katika kuendeleza sekta ya kilimo ili kuona nch...

'THBUB' KUSHIRIKIANA NA 'MNCC' YA MALAWI KULINDA HAKI ZA WATOTO

  TUME  ya H aki za B inadamu na U tawala B ora (THBUB) imekutana na kufanya mazungmzo na Tume ya Taifa ya Watoto  kutoka Malawi, ( Malawi National Children’s Commission   -  MNCC) ambayo ilifanya ziara yake nchini Tanzania kwa lengo la kuimarisha ushirikiano baina ya tume mbili hizo.   Mkutano huo uliofanyika ofisi za THBUB zilizopo Dar es Salaam chini ya uenyeji wa Mhe.  Kamishna Nyanda J. Shuli  na ujumbe walioongozana nao  tume hizo.                    K atika mazungumzo yao tume mbili hizo yalilenga zaidi kukuza ushirikiano na kuendeleza uhusiano baina yao hasa katika eneo la kilinda na kutetea haki za watoto.   Akizungumza kwenye mkutano huo, Kamishna wa THBUB, Nyanda   Shuli ali ueleza ujumbe wa MNCC kwamba THBUB inashughulikia masuala mbalimbali yanayohusu haki zikiwemo haki za watoto.   Aidha, Kamishna Shuli aliendelea kuuelezea u...