Skip to main content

Posts

Showing posts with the label KONGAMANO LA DK. MWINYI NA MAFANIKIO PEMBA

RC KUSINI PEMBA: WAANDISHI WA HABARI YAELEZENI MAFANIKIO YALIOPO

  NA MOZA SHAABAN, PEMBA@@@@ WADAU wa habari kisiwani Pemba, wametakiwa kutumia taaluma zao  katika kuelimisha jamii kuhusu maendeleo  yalioyopatikana ndani ya awamu ya nane ya Seikali ya Mapinduzi ya Zanzibar chini  ya uongozi wa Dk. Hussein Ali Mwinyi. Hayo yalielezwa jana Juni 21, 2025 na  Mkuu wa mkoa wa kusini Pemba Rashid Hadid Rashid kwenye kongamano   la wadau wa habari, lililofanyika katika ukumbi wa "ZRA" Gombani Chake chake Pemba.  Alisema ipo haja ya wanahabari  kutumia taaluma zao vizuri, ili  kuimarisha upatikanaji wa taarifa sahihi kwa wananchi, hasa zinazohusu maendeleo, kutokana na umuhimu wa taarifa hizo. Alieleza kua serikali ya awamu ya nane chini ya Raisi Dk. Mwinyi imepiga hatua kubwa za maendeleo katika kuwasogezea huduma bora wananchi wake, ya maeneo mbali mbali ya mjini na vijijini. "Serikali ya awamu ya nane, imepiga hatua kubwa katika maendeleo nchini kwa kuwasogezea  huduma mbali mbali, hivyo ni vizuri wa...