Skip to main content

Posts

Showing posts with the label WATOTO

JAMII YATAKIWA KUZIDISHA KASI MAPAMBANO YA UDHALILISHAJI, UKATILI

NA MWANDISHI MAALUM, PEMBA JAMII imetakiwa kuendelea kushirikishiana katika kupinga ukatili wa kijinsia wanao fanyiwa wanawake na watoto nchini, ili kuondosha vitendo hivyo. Wito huo umetolewa na mweyekiti wa Madiwani Baraza mji Mkoani Mohamed Said Ali akifunguwa kongamano la kujadili ukatili kijinsia kwa wanafunzi na wanajamii wa mkoani liloandaliwa na mtandao wa utetezi wa haki za wanawake Tanzania kisiwani Pemba ikiwa ni shamra shamra ya kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia duniani. Amesema serekali inaendelea kuchukuwa jitihada mbali mbali za upinga vitendo hivyo ikiwemo kuwachukulia hatuwa za kisheria watendaji wa makosa hao. Aidha amesema licha jitihada hizo lakin bado kuna baadhi ya Jamii wanakwamisha jitihada hizo kwa kutotowa tarifa za ukatili kwa vyombo vya sheria kuchukuliwa hatuwa na badala yake kuzimaliza wenywe majumbani au kutotowa ushahidi wa katika vyombo vya sheria. "Serekali inajitahidi kupambana kuona vitendo hivi vinaondoka lakin Hadi sasa Kuna b...