Skip to main content

Posts

Showing posts with the label ZANZADABPT

WANAWAKE WAPANDA MIKOKO PEMBA WAANIKA CHUNGU YA MATUMAINI YA KIPATO

  NA HABIBA ZARALI, PEMBA@@@@ S HUGHULI za kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi ,  bado zinazidi kuwafanya wananchi na mashirika mbali mbali duniani kujitokeza kwa kutoa elimu ama kugawa mbegu kajili  ya kutokomeza j anga hilo.  Matumaini makubwa huonekana katika sehemu zenye bahari kwa kuwepo na miti ya mikoko kwa kuepusha athari pembezoni zinazoweza kuepukika . Katika kisiwa cha Zanzibar ,  kwa sasa kuna uhutaji wa elimu juu ya uwoto wa asili ,  kwani hupoteza twasira ya mazingira na uharibifu. Matumaini ya wanawake wa kisiwa cha P emba shehia ya M changamdogo ni kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi ,  kwa kujikita katika kilimo msitu cha upandaji wa miti ya mikoko. Mikoko ni  misitu inayopatikana katika nchi za joto sana na la kiasi ,  ambayo inaweza kuota na kumea katika maeneo ya maji chumvi ,  ambayo yapo katika ukanda unaofikiwa na maji kujaa na kutoka  na kupwa. Mikoko inaweza kuishi kwa kufunikwa na maji kujaa n...

GROWING IN ADVERSITY: A STORY OF RESILIENCE FROM THE WOMEN OF UZI

  BY MUNIRA KAONEKA@@@@...... For many, the islands of Zanzibar evoke images of tropical forests and pristine beaches, and while that may be true , the very properties that make Zanzibar a unique tropical paradise also present significant challenging environments for its residents —particularly its farmers. Nearly half of the islands are occupied by coral terrain, characterized by a wide range of coral outcrops and soil patches in between, these geological features make  agriculture a demanding task, particularly for coastal communities such as those on Uzi Island. Situated to the south of Zanzibar's main island, Unguja, Uzi Island is a small community connected to the mainland by a causeway. The island’s coral bedrock dominates the landscape, leaving limited fertile ground for agriculture. What little arable land exists has been largely utilised for settlements, pushing farmers to adapt their practices and tools to the rugged coral terrain that remains. Traditional farming pr...