Skip to main content

Posts

UWE KARIBU NASI KWA HABARI NA MATUKIO

 BY HAJI NASSOR Misi Mwalimu Faki is a woman farmer from Gombeume Mchangamdogo village in Pemba who, despite living with a physical disability, is actively engaged in climate adaptation through agroforestry. Her work challenges deep-rooted assumptions about disability, gender, and who can lead climate action at the community level. At 58 years old , Misi Mwalimu Faki is a woman with a physical disability, living with one arm, a mother of nine children , four sons and five daughters , and the wife of a man who has been chronically ill for many years . Her daily life has long been shaped by care, responsibility, and resilience under difficult circumstances. For years, her household faced deep vulnerability. Limited income, growing climate stress, and declining soil productivity made farming increasingly challenging. Feeding a large family was often uncertain, and each season carried new risks. Beyond economic hardship, Misi also experienced social exclusion . In her communit...
Recent posts

KAMATI YA KUPAMBANA NA UDHALILISHAJI CHAKECHAKE YAWAJIA JUU WAZAZI WANAOWARUHUSU WATOTO KUTEMBEZA BIASHARA

    NA HAJI NASSOR, PEMBA@@@@ KAMATI ya kupambana na udhalilishaji kwa wanawake na watoto ya wilaya ya Chake chake, imepiga marufuku kwa wazazi na walezi wilayani humo, kuwapa biashara za kutembeza watoto wao, kwani ni njia moja wapo ya kufanyiwa vitendo viovu. Kauli hiyo imetolewa leo Mei 25, 2026 na Kaimu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Kassim Ali Omar, wakati akifungua kikao kazi, cha wajumbe hao, kilichofanyika ukumbi wa zamani wa TASAF Chake chake. Alisema lazima kamati, isimamie hilo maana wapo wazazi wamekuwa wakiwatumia watoto wao, kutembeza biashara mitaani, na kisha huishia kudhalilishwa. Alieleza kuwa, hasa kuelekea kipindi hichi cha sikukuu na skuli kufungwa, wazazi hutumia fursa hiyo, jambo ambalo sio sahihi. ‘’Niitake sana kamati hii, ihakikishe inasimamia sana, maana wapo wazazi na walezi, wamekuwa wakiwatumia watoto wao, kutembeza biashara majumbani, jambo ambalo ni hatari kwao,’’alifafanua. Katika hatua nyingine, Kaimu Mwenyekiti huyo Kassim Ali Omar, ...

UFUGAJI MATANGO BAHARI AJIRA YENYE GHARAMA NAFUU, 'TUMUOMBE MOLA' MBIONI KUVUNA 20/=MILIONI

  NA HAJI NASSOR, PEMBA@@@@ ‘…….SEA Cucumbers’ ama matango bahari…... Na wingine huliita jongoo la pwani, ama kiazi bahari. Ni aina ya wanyama ama kiumbe, kinachoendesha maisha yake baharini. Kitango bahari, kina ngozi ngumu kiasi na mwili mrefu ambapo muonekano na maumbile yake ni sawa na kitango kinacholiwa nchi kavu. Kitango bahari, kinaendelea kufafanuliwa kwenye vitabu na mitandao kuwa, kina mwili mrefu wenye via vya uzazi, moja iliyo na matawi. Wanyama hawa, wanapatikana kwenye sakafu za bahari duniani kote, wakiwa wamegawanyika kwenye spishi zaidi ya 1,717. Ingawa nyingi zao, zinapatikana eneo la Asia-Pasifiki, ambapo kwa Zanzibar utafiti umeonesha zipo zaidi ya aina 35. Vitango bahari, huishi kwa kutambaa kwenye sakafu ya bahari, na kuweka hifadhi na kujisitiri kwenye matumbawe.   Maisha ya viumbve hawa, waliokua hawakuwa na thamani kwa zaidi ya karne moja Zanzibar, maisha yao yana mchango mkubwa katika ikolojia ya bahari, hasa katika kuisafisha. ...

INSIDE THE FIGHT TO PRESERVE ZANZIBAR'S HISTORIC MOSQUES

  By Tatu Makame, ZANZIBAR@@@@ ZANZIBAR’S Stone Town is one of the world’s most celebrated heritage sites, officially inscribed on the UNESCO World Heritage List in 2000 for its outstanding cultural and historical value. The ancient town has gained global recognition for its centuries-old buildings, unique architecture and rich cultural heritage that continue to attract tourists and researchers from different parts of the world. Visitors arriving in Stone Town are drawn by its narrow streets, historical sites, ancient mosques and buildings that reflect the deep history of the East African coast. Despite the achievements made in preserving the heritage city, Stone Town continues to face growing challenges caused by climate change, environmental degradation and the ageing of historical structures. Several buildings, including houses, mosques and public structures, have suffered cracks, weakened walls and structural collapse, threatening the survival of one of Africa’s most ...
  TAMWA - ZANZIBAR YAWAPIGA MSASA WAANDISHI KUTIPOTI HABARI ZA UDHALILISHAJI MAENEO YASIO RASMI   NA MOZA SHAABAN, PEMBA@@@@ MRATIBU wa Program ya Mradi wa kupambana na vitendo vya udhalilishaji wa "Tunaweza kwa pamoja   kutokomeza vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia" kwa wanawake na wasichana unaotekelezwa na   chama cha waandishi wa habari wanawake TAMWA -ZANZIBAR   kwa kushirikiana na UN - WOMEN, Asia Hakim Makame amewataka waandishi wa habari kutumia taaluma zao kuielimisha jamii juu ya masuali mbali mbali ya udhalilishaji wa kijinsia kwa wanawake na wasichana. Alisema waandishi wa habari wanamchango mkubwa katika kutoa elumu ya kupinga vitendo vya udalilishaji wa kijinsia   kwa wanawake na watoto hususan katika sekta zisizo rasmini ikiwemo ya uchumi,elimu, afya na usafirishaji. Aliyasema hayo wakati   akifungua mafunzo ya uandishi wa habari hizo yaliojumuisha waandishi kutoka vyombo mbali mbali vya habari watakao tekeleza mradi huo ...

‘WEPO’ YAMALIZA MRADI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

  NA HAJI NASSOR, PEMBA@@@@ WANANCHI 710, wakiwemo wanafunzi wa kike 663, sambamba na wasikilizaji 4,800 wa redio mbalimbali, wamefikiwa na elimu ya kisheria, haki za binaadamu, kupitia mradi uliokuwa ukiendeshwa na Jumuiya ya wasaidizi wa sheria Wete ‘WEPO’ hivi karibuni. Hayo yalibainishwa na Mratibu wa Uwezeshaji wa upatikanaji wa haki, kutoka ‘WEPO’ Rashid Hassan Mshamata leo Mei 10, 2026 skuli ya sekondari ya Utaani Wete, wakati wa mjadala wa wazi. Alisema, wapo waalimu na wazazi, wakimwemo wanawake 27 na wanaume 19, walifikia wakati wa utekelezaji wa mradi huo. Alieleza kuwa, kwa sasa matumaini yao, ni kuona jamii, imebadilika na waliokalia haki za wingine, sasa wanapata haki zao, kama sheria zilivyo. Alifafanua kuwa, kwa mfano waligundua ipo familia, ambayo, haijarithi kwa miaka 30 sasa, ambapo wanaume, wamekalia mirathi, jambo ambalo linaendelea kuwanyima haki wingine. ‘’Mradi huu, tulifanya shughuli kadhaa, lakini mafanikio yapo, maana hata wakati wa urushaji ...