NA MWANDISHI MAALUM, UNGUJA Maofisa kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) ofisi ya Zanzibar, wamewapa elimu ya haki za binadamu na misingi ya utawala bora Wanafunzi 454 wa Skuli za sekondari kwa Mikoa mitatu ya Unguja. Wakizungumza kwa nyakati tofauti kupitia Serikali za wanafunzi wa Skuli 11 za mikoa hiyo, Maofisa hao waligusia zaidi katika mada za kukuza, kulinda, kuheshimu, na kuhifadhi haki za wengine. Pia maofisa hao waliwaeleza wanafunzi kwa upana kuhusu THBUB, kazi na majukumu yake katika kulinda haki za binadamu sambamba na wajibu wa wanafunzi hao katika kuzitekeleza na kuziishi haki hizo. Akiizungumzia haki ya msingi ya mwanadamu, haki ya kuisha Ofisa Sheria THBUB, Fatma Sultan Mwesimba aliwaeleza wanafunzi hao kwa haki hiyo inaaza mara moja baada ya binadamu kuzaliwa nakuongeza kuwa haki hiyo haipokonyeki ina inapaswa mtu kuendelea kuishi nayo na haipaswi kuvunjwa kwa namna yoyote ile isipokua iamuliwe kupitia sharia za nchi. Pia aliongeza kwa ...
BY HAJI NASSOR Misi Mwalimu Faki is a woman farmer from Gombeume Mchangamdogo village in Pemba who, despite living with a physical disability, is actively engaged in climate adaptation through agroforestry. Her work challenges deep-rooted assumptions about disability, gender, and who can lead climate action at the community level. At 58 years old , Misi Mwalimu Faki is a woman with a physical disability, living with one arm, a mother of nine children , four sons and five daughters , and the wife of a man who has been chronically ill for many years . Her daily life has long been shaped by care, responsibility, and resilience under difficult circumstances. For years, her household faced deep vulnerability. Limited income, growing climate stress, and declining soil productivity made farming increasingly challenging. Feeding a large family was often uncertain, and each season carried new risks. Beyond economic hardship, Misi also experienced social exclusion . In her communit...