NA SALUM VUAI, ZANZIBAR@@@@ KUFUATIA uteuzi wa Mawaziri wapya Zanzibar baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu uliokirudisha madarakani Chama cha Mapinduzi, waandishi wa habari hawakusita kutoa ya moyoni wakieleza matumaini waliyonayo katika kuimarika zaidi kwa sekta ya habari. Wadau wa habari na waandishi waliozungumza na gazeti hili, wamesema kwa miaka mingi, sekta ya habari visiwani Zanzibar imekuwa ikipata mafanikio kadhaa, ingawa pia wamebainisha changamoto mbalimbali zinazowabana katika utekelezaji wa majukumu yao. Wamesifu kuongezeka kwa uhuru wa habari kwa kiasi fulani, lakini wakaeleza kuwa bado baadhi ya watu wanatawaliwa na dhana potofu kwamba waandishi wa habari hawapaswi kuwa marafiki wa kudumu bali ni wa msimu tu hasa pale maslahi yao binafsi yanapohusika. Kutokana na fikra kama hizo, mara kwa mara waandishi wamekuwa wakinyimwa taarifa au kuamriwa kutozitangaza hasa ikiwa jambo linalotakiwa linahusu uzembe, hujuma au makosa ya mtu...
UONGOZI WA CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR (ZU) UNAYOFURAHA KUWAALIKA WAHITIMU WOTE WA MWAKA WA MASOMO 2024/2025, PAMOJA NA WAZAZI, WALEZI, NDUGU, JAMAA, MARAFIKI, NA WADAU WOTE WA MAENDELEO YA ELIMU, KUSHIRIKI KATIKA MAHAFALI YA 23 YA CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR (ZU). MAHAFALI HAYO YANATARAJIWA KUFANYIKA SIKU YA JUMATANO YA DISEMBA 17, MWAKA 2025, KATIKA KIWANJA CHA CHUO KIKUU TUNGUU KIBELE UNGUJA, KUANZIA SAA 2: 00 ASUBUHI. AMBAPO KATIKA MAHAFALI HAYO PAMBE, MGENI RASMI ANATARAJIWA KUWA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DK. HUSSEIN ALI MWINYI. UONGOZI WA CHUO UNAWASHAURI WAHITIMU WOTE, KUKAMILISHA TARATIBU ZOTE IKIWA NI PAMOJA NA KUCHUKUWA MAJOHO KUANZIA SIKU YA ALHAMISI YA TAREHE 11 HADI TAREHE 15. MAZOEZI YA MAHAFALI 'REHASAL' ITAFANYIKA TAREHE 16 DISEMBA, 2025 SAA 2:00 ASUBUHI. HIVYI BASIII......WATU WOTE WANAKARIBISHWA KUSHEREHEKEA MAHAFALI HAYO. KUMBUKA KUWA......CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR (ZU) NI CHEM CHEM YA MAADILI NA TAALUMA. KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA SIMU...